Israel Mbonyi – Nina Siri (Mp3 Download, Lyrics)

Gifted Rwanda popular gospel music singer and songwriter, Israel Mbonyi has just released an impressive new track titled “Nina Siri”. And you can get it right here for your easy download!

Download Nina Siri Mp3 by Israel Mbonyi.

DOWNLOAD NOW

My Money

Video: Nina Siri by Israel Mbonyi.

Nina Siri Mp3 Download & Lyrics by Israel Mbonyi

Nina Siri Lyrics by Israel Mbonyi.

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
Kwa amani nayo dhiki
Yanifanya niwe jasiri
Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, Amen
Yaniburudisha, nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen

Nina siiri

Nina siri naye Yesu
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Nikiimba Hosana, Amen

  Israel Mbonyi – Tugumane (Mp3 Download, Lyrics)

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Waambie wanaolia
Wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake
Na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen

Waambie wanaolia
Wakiteswa na malimwengu
Waonjeni neema yake
Na rehema yake Mwokozi
Watafunguliwa, watawekwa huru
Hosana, Amen
Watafunguliwa, watawekwa huru
Wataimba Hosana, Amen

Nina siiri

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu (Mwokozi wangu)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

  Israel Mbonyi – Amenisamehe (Mp3 Download, Lyrics)

Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu (Hallelujah)
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu
Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

Yaniburudisha, nikirukaruka
Hosana, Amen

nikirukaruka
Hosana, Amen
(Yaniburudisha)Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Hosana, Amen

Nina siri naye Yesu
(Yanifanya)Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani (nayo shida) nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka)nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana)Nikiimba Hosana, Amen

  Israel Mbonyi – Malengo Ya Mungu (Mp3 Download, Lyrics)

Hallelujah!

nikirukaruka
Hosana, Amen

Hallelujah!

Leave a Comment